Yohana 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake mwenyewe,*+ ndivyo pia amemruhusu Mwana awe na uzima ndani yake mwenyewe.+ 1 Timotheo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa kweli, siri takatifu ya huu ujitoaji-kimungu* ni kubwa: ‘Alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ aliwatokea malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ watu walimwamini ulimwenguni,+ akapokewa mbinguni kwa utukufu.’
26 Kwa maana kama vile Baba alivyo na uzima ndani yake mwenyewe,*+ ndivyo pia amemruhusu Mwana awe na uzima ndani yake mwenyewe.+
16 Kwa kweli, siri takatifu ya huu ujitoaji-kimungu* ni kubwa: ‘Alifunuliwa katika mwili,+ alitangazwa kuwa mwadilifu katika roho,+ aliwatokea malaika,+ alihubiriwa kati ya mataifa,+ watu walimwamini ulimwenguni,+ akapokewa mbinguni kwa utukufu.’