Mambo ya Walawi 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Unapaswa kuinuka mbele ya kichwa chenye mvi,+ na ni lazima umheshimu mzee,+ nawe lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova. Ayubu 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Niliwaza, ‘Acha umri uzungumze,*Na acha wingi wa miaka utangaze hekima.’ Methali 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Utukufu wa vijana ni nguvu zao,+Na fahari ya wazee ni mvi zao.+
32 “‘Unapaswa kuinuka mbele ya kichwa chenye mvi,+ na ni lazima umheshimu mzee,+ nawe lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.