Methali 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mvi ni taji la umaridadi*+Zinapopatikana katika njia ya uadilifu.+ Methali 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Utukufu wa vijana ni nguvu zao,+Na fahari ya wazee ni mvi zao.+