Mambo ya Walawi 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Unapaswa kuinuka mbele ya kichwa chenye mvi,+ na ni lazima umheshimu mzee,+ nawe lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova. Methali 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mvi ni taji la umaridadi*+Zinapopatikana katika njia ya uadilifu.+
32 “‘Unapaswa kuinuka mbele ya kichwa chenye mvi,+ na ni lazima umheshimu mzee,+ nawe lazima umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.