Ayubu 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli, kutoka Buzi, akaanza kuzungumza, akasema: “Mimi ni kijana*Lakini ninyi ni wazee.+ Kwa hiyo kwa heshima nilijizuia,+Nami sikuthubutu kuwaambia ninayojua. Methali 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Msikilize baba yako aliyekuzaa,Wala usimdharau mama yako kwa sababu tu amezeeka.+ 1 Timotheo 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Usimkosoe kwa ukali mwanamume mzee.+ Badala yake, msihi kama baba, wanaume vijana kama ndugu,
6 Kwa hiyo Elihu mwana wa Barakeli, kutoka Buzi, akaanza kuzungumza, akasema: “Mimi ni kijana*Lakini ninyi ni wazee.+ Kwa hiyo kwa heshima nilijizuia,+Nami sikuthubutu kuwaambia ninayojua.