5 Lakini ninyi mnasema, ‘Yeyote anayemwambia baba yake au mama yake: “Chochote nilicho nacho ambacho kingekusaidia ni zawadi iliyowekwa wakfu kwa Mungu,”+ 6 anakosa kabisa kumheshimu baba yake.’ Kwa hiyo, mmelibatilisha neno la Mungu kwa sababu ya mapokeo yenu.+