Mambo ya Walawi 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Mtu yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake lazima auawe.+ Kwa kuwa amemtukana baba yake au mama yake atakuwa na hatia kwa sababu ya kifo chake mwenyewe.* Methali 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yeyote anayemtukana baba yake na mama yake,Taa yake itazimwa giza litakapoingia.+ Methali 30:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kuna kizazi kinachomtukana baba yaoNacho hakimbariki mama yao.+ Methali 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+—Kunguru wa bondeni* wataling’oa,Na tai wachanga watalila.+ Mathayo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+
9 “‘Mtu yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake lazima auawe.+ Kwa kuwa amemtukana baba yake au mama yake atakuwa na hatia kwa sababu ya kifo chake mwenyewe.*
17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+—Kunguru wa bondeni* wataling’oa,Na tai wachanga watalila.+
4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+