Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Mtu yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake lazima auawe.+ Kwa kuwa amemtukana baba yake au mama yake atakuwa na hatia kwa sababu ya kifo chake mwenyewe.*

  • Methali 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yeyote anayemtukana baba yake na mama yake,

      Taa yake itazimwa giza litakapoingia.+

  • Methali 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kuna kizazi kinachomtukana baba yao

      Nacho hakimbariki mama yao.+

  • Methali 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+

      —Kunguru wa bondeni* wataling’oa,

      Na tai wachanga watalila.+

  • Mathayo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki