Kutoka 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Yeyote anayemlaani baba yake au mama yake lazima auawe.+ Kumbukumbu la Torati 27:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Amelaaniwa mtu anayemdharau baba yake au mama yake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’) Methali 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yeyote anayemtukana baba yake na mama yake,Taa yake itazimwa giza litakapoingia.+ Mathayo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+
4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+