Kutoka 21:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Yeyote anayemlaani baba yake au mama yake lazima auawe.+ Mambo ya Walawi 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Mtu yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake lazima auawe.+ Kwa kuwa amemtukana baba yake au mama yake atakuwa na hatia kwa sababu ya kifo chake mwenyewe.*
9 “‘Mtu yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake lazima auawe.+ Kwa kuwa amemtukana baba yake au mama yake atakuwa na hatia kwa sababu ya kifo chake mwenyewe.*