Mambo ya Walawi 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+ Mambo ya Walawi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 20:9 w04 5/15 24 Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:9 Mnara wa Mlinzi,5/15/2004, uku. 24
9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+