Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili uishi muda mrefu katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+

  • Kumbukumbu la Torati 21:18-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Ikiwa mtu ana mwana ambaye ni mkaidi na mwasi na hamtii baba yake au mama yake,+ nao wamejaribu kumrekebisha lakini anakataa kuwasikiliza,+ 19 baba yake na mama yake wanapaswa kumshika na kumpeleka kwa wazee kwenye lango la jiji lake 20 na kuwaambia hivi wazee wa jiji lake: ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi, anakataa kututii. Ni mlafi+ na mlevi.’+ 21 Basi watu wote wa jiji lake watamuua kwa kumpiga mawe. Kwa hiyo ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu, na Waisraeli wote watasikia na kuogopa.+

  • Methali 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yeyote anayemtukana baba yake na mama yake,

      Taa yake itazimwa giza litakapoingia.+

  • Methali 30:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jicho linalomdhihaki baba na kudharau kumtii mama+

      —Kunguru wa bondeni* wataling’oa,

      Na tai wachanga watalila.+

  • Mathayo 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki