10 Nawe lazima umuue kwa kumpiga mawe,+ kwa sababu alijaribu kukugeuza umwache Yehova Mungu wako, aliyekutoa nchini Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa. 11 Hivyo, Waisraeli wote watasikia na kuogopa, na kamwe hawatafanya tena jambo lolote baya kama hilo miongoni mwenu.+