Kumbukumbu la Torati 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama mimi Yehova Mungu wako nilivyokuamuru, ili uishi muda mrefu na kufanikiwa* katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+ Mathayo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+ Waefeso 6:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mheshimu baba yako na mama yako,”+ hiyo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi: 3 “Ili mambo yakuendee vema* nawe ukae muda mrefu duniani.”
16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama mimi Yehova Mungu wako nilivyokuamuru, ili uishi muda mrefu na kufanikiwa* katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+
4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+
2 “Mheshimu baba yako na mama yako,”+ hiyo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi: 3 “Ili mambo yakuendee vema* nawe ukae muda mrefu duniani.”