Kutoka 21:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu anayempiga baba yake au mama yake lazima auawe.+ Mambo ya Walawi 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumheshimu* mama yake na baba yake,+ nanyi mnapaswa kushika sabato zangu.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Kumbukumbu la Torati 27:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Amelaaniwa mtu anayemdharau baba yake au mama yake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’) Methali 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+Wala usiyaache mafundisho* ya mama yako.+ Marko 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+
3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumheshimu* mama yake na baba yake,+ nanyi mnapaswa kushika sabato zangu.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+