Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mtu anayempiga baba yake au mama yake lazima auawe.+

  • Mambo ya Walawi 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumheshimu* mama yake na baba yake,+ nanyi mnapaswa kushika sabato zangu.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Kumbukumbu la Torati 27:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Amelaaniwa mtu anayemdharau baba yake au mama yake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’)

  • Methali 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Mwanangu, sikiliza nidhamu ya baba yako,+

      Wala usiyaache mafundisho* ya mama yako.+

  • Marko 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa mfano, Musa alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’+ na, ‘Yeyote anayemtukana* baba yake au mama yake anapaswa kuuawa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki