Mambo ya Walawi 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumheshimu* mama yake na baba yake,+ nanyi mnapaswa kushika sabato zangu.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Methali 31:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima;+Sheria ya fadhili iko* kwenye ulimi wake. 2 Timotheo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana ninaikumbuka imani yako isiyo na unafiki,+ ambayo kwanza ilikuwa ndani ya nyanya yako Loisi na mama yako Eunike, lakini ambayo nina hakika imo ndani yako pia.
3 “‘Kila mmoja wenu anapaswa kumheshimu* mama yake na baba yake,+ nanyi mnapaswa kushika sabato zangu.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
5 Kwa maana ninaikumbuka imani yako isiyo na unafiki,+ ambayo kwanza ilikuwa ndani ya nyanya yako Loisi na mama yako Eunike, lakini ambayo nina hakika imo ndani yako pia.