11 Kwa maana kwa siku sita mimi, Yehova, niliumba mbingu na dunia, bahari, na vitu vyote vilivyomo, nami nikaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu mimi Yehova niliibariki siku ya Sabato na kuifanya kuwa takatifu.
13 “Waambie Waisraeli, ‘Mnapaswa hasa kushika sabato zangu,+ kwa maana ni ishara kati yangu pamoja nanyi katika vizazi vyenu ili mjue kwamba mimi, Yehova, ninawatakasa ninyi.