Mathayo 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Mwana wa binadamu ndiye Bwana wa Sabato.”+ Marko 2:27, 28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kisha akawaambia: “Sabato iliwekwa kwa ajili ya mwanadamu,+ bali si mwanadamu kwa ajili ya Sabato. 28 Basi, Mwana wa binadamu pia ndiye Bwana wa Sabato.”+
27 Kisha akawaambia: “Sabato iliwekwa kwa ajili ya mwanadamu,+ bali si mwanadamu kwa ajili ya Sabato. 28 Basi, Mwana wa binadamu pia ndiye Bwana wa Sabato.”+