Kutoka 20:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana katika siku sita Yehova alizifanya mbingu na dunia, bahari na kila kilichomo,+ naye akaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu Yehova aliibariki siku ya sabato na kuifanya kuwa takatifu.+ Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:11 Ufahamu,
11 Kwa maana katika siku sita Yehova alizifanya mbingu na dunia, bahari na kila kilichomo,+ naye akaanza kupumzika siku ya saba.+ Ndiyo sababu Yehova aliibariki siku ya sabato na kuifanya kuwa takatifu.+