Kutoka 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Ikumbuke siku ya Sabato na uione kuwa takatifu.+ Mambo ya Walawi 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Ni lazima mshike sabato zangu,+ nanyi mnapaswa kuheshimu* mahali pangu patakatifu. Mimi ni Yehova. Wakolosai 2:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo, msimruhusu mtu yeyote awahukumu kuhusu mnachokula na kunywa+ au kuhusu kushika sherehe au mwezi mpya+ au sabato.+ 17 Mambo hayo ni kivuli cha mambo yanayokuja,+ bali uhalisi ni wa Kristo.+
30 “‘Ni lazima mshike sabato zangu,+ nanyi mnapaswa kuheshimu* mahali pangu patakatifu. Mimi ni Yehova.
16 Kwa hiyo, msimruhusu mtu yeyote awahukumu kuhusu mnachokula na kunywa+ au kuhusu kushika sherehe au mwezi mpya+ au sabato.+ 17 Mambo hayo ni kivuli cha mambo yanayokuja,+ bali uhalisi ni wa Kristo.+