Waroma 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yule anayeishika siku huishika kwa ajili ya Yehova.* Pia, yule anayekula, anakula kwa ajili ya Yehova,* kwa maana yeye humshukuru Mungu;+ na yule asiyekula, hali chakula kwa ajili ya Yehova,* na bado yeye humshukuru Mungu.+
6 Yule anayeishika siku huishika kwa ajili ya Yehova.* Pia, yule anayekula, anakula kwa ajili ya Yehova,* kwa maana yeye humshukuru Mungu;+ na yule asiyekula, hali chakula kwa ajili ya Yehova,* na bado yeye humshukuru Mungu.+