Waroma 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yule anayekula asimdharau yule asiyekula, na yule asiyekula asimhukumu yule anayekula,+ kwa maana Mungu amemkaribisha. Waroma 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Ufalme wa Mungu haumaanishi kula na kunywa,+ bali unamaanisha uadilifu na amani na shangwe pamoja na roho takatifu.
3 Yule anayekula asimdharau yule asiyekula, na yule asiyekula asimhukumu yule anayekula,+ kwa maana Mungu amemkaribisha.
17 Kwa maana Ufalme wa Mungu haumaanishi kula na kunywa,+ bali unamaanisha uadilifu na amani na shangwe pamoja na roho takatifu.