Kumbukumbu la Torati 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mnajua vizuri mioyoni mwenu kwamba kama baba anavyomrekebisha mwana wake, ndivyo Yehova Mungu wenu alivyokuwa akiwarekebisha.+ Methali 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Yeyote anayeizuia fimbo yake* anamchukia mwanawe,+Lakini yule anayempenda humtia nidhamu kwa bidii.*+ Methali 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mtie nidhamu mtoto* wako wakati bado kuna tumaini,+Nawe usiwajibike kwa* kifo chake.+ Methali 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimnyime mvulana* nidhamu.+ Ukimpiga kwa fimbo, hatakufa. Waebrania 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Zaidi ya hayo, baba zetu wa kibinadamu* walikuwa wakitutia nidhamu, nasi tuliwapa heshima. Je, hatupaswi kujitiisha hata zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+
5 Mnajua vizuri mioyoni mwenu kwamba kama baba anavyomrekebisha mwana wake, ndivyo Yehova Mungu wenu alivyokuwa akiwarekebisha.+
24 Yeyote anayeizuia fimbo yake* anamchukia mwanawe,+Lakini yule anayempenda humtia nidhamu kwa bidii.*+
9 Zaidi ya hayo, baba zetu wa kibinadamu* walikuwa wakitutia nidhamu, nasi tuliwapa heshima. Je, hatupaswi kujitiisha hata zaidi kwa Baba wa maisha yetu ya kiroho na kuishi?+