-
Waebrania 12:5-7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Nanyi mmesahau kabisa lile himizo linalosema nanyi kama wana: “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova,* wala usikate tamaa anapokurekebisha; 6 kwa maana Yehova* huwatia nidhamu wale anaowapenda, kwa kweli, humpiga fimbo* kila mtu ambaye amempokea kuwa mwana.”+
7 Mnahitaji kuvumilia kama sehemu ya nidhamu* yenu. Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye hatiwi nidhamu na baba yake?+
-