Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana Yehova huwakaripia wale anaowapenda,+

      Kama baba anavyomkaripia mwana anayempenda.+

  • 1 Wakorintho 11:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hata hivyo, tunapohukumiwa, Yehova*+ anatutia nidhamu, ili tusihukumiwe pamoja na ulimwengu.+

  • Waebrania 12:5-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nanyi mmesahau kabisa lile himizo linalosema nanyi kama wana: “Mwanangu, usiipuuze nidhamu kutoka kwa Yehova,* wala usikate tamaa anapokurekebisha; 6 kwa maana Yehova* huwatia nidhamu wale anaowapenda, kwa kweli, humpiga fimbo* kila mtu ambaye amempokea kuwa mwana.”+

      7 Mnahitaji kuvumilia kama sehemu ya nidhamu* yenu. Mungu anawatendea ninyi kama wana.+ Kwa maana ni mwana gani ambaye hatiwi nidhamu na baba yake?+

  • Ufunuo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Wale wote ninaowapenda, mimi huwakaripia na kuwatia nidhamu.+ Basi uwe mwenye bidii na utubu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki