20 Hakika ikiwa baada ya kuponyoka unajisi wa ulimwengu+ kupitia ujuzi sahihi kumhusu Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanajiingiza tena katika mambo haya na kushindwa, mwisho wao unakuwa mbaya zaidi kuliko mwanzo wao.+
7 Lakini kwa neno hilohilo, mbingu na dunia zilizopo sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto na zinawekwa mpaka siku ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+