-
2 Petro 2:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Hakika ikiwa, baada ya kuwa wameponyoka kutoka katika mambo ya unajisi ya ulimwengu kwa ujuzi sahihi juu ya Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanapata kujihusisha tena na mambo hayahaya na kuwezwa, hali za mwisho zimekuwa mbaya zaidi kwao kuliko zile za kwanza.
-