20 Hakika ikiwa baada ya kuponyoka unajisi wa ulimwengu+ kupitia ujuzi sahihi kumhusu Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanajiingiza tena katika mambo haya na kushindwa, mwisho wao unakuwa mbaya zaidi kuliko mwanzo wao.+
20 Hakika ikiwa, baada ya kuponyoka kutoka katika mambo ya unajisi ya ulimwengu+ kwa ujuzi sahihi juu ya Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, wanajiingiza tena katika mambo haya na kushindwa,+ hali ya mwisho imekuwa mbaya zaidi kwao kuliko ile ya kwanza.+