5 “‘Kwa hiyo kumbuka pale ulipokuwa kabla ya kuanguka, nawe utubu+ na kufanya matendo uliyofanya mwanzoni. Usipofanya hivyo, nitakuja kwako, nami nitakiondoa kinara chako cha taa+ kutoka mahali pake, usipotubu.+
3 Kwa hiyo, endelea kuzingatia* jinsi ulivyopokea na jinsi ulivyosikia, na uendelee kulishika, na utubu.+ Hakika usipoamka, nitakuja kama mwizi,+ nawe hutajua kamwe saa nitakayokuja juu yako.+