11 Kwa maana, ona jinsi kuhuzunishwa kwenu kwa njia ya kimungu kulivyotokeza bidii nyingi ndani yenu, ndiyo, mlijiondolea hatia, ndiyo, ghadhabu, ndiyo, woga, ndiyo, kutamani sana, ndiyo, bidii, ndiyo, kurekebisha kosa!+ Katika kila njia mlijionyesha kuwa safi kuhusu jambo hili.