Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 3:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Siku hiyo nitamtendea Eli mambo yote niliyosema kuhusu nyumba yake, kuanzia mwanzo mpaka mwisho.+ 13 Ni lazima umwambie kwamba ninailetea nyumba yake hukumu ya kudumu kwa sababu ya dhambi ambayo anaijua,+ kwa maana wanawe wanamtukana Mungu,+ lakini hajawakemea.+

  • 1 Wafalme 1:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Wakati huo, Adoniya+ mwana wa Hagithi alikuwa akijikweza, akisema: “Nitakuwa mfalme!” Alijitengenezea gari, naye akawa na wapanda farasi na wanaume 50 waliokimbia mbele yake.+ 6 Lakini baba yake hakuwahi kamwe kumkemea* kwa kumuuliza: “Kwa nini umefanya hivi?” Alikuwa pia na sura nzuri sana, na mama yake alimzaa baada ya Absalomu.

  • Methali 29:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Fimbo* na karipio hufunza hekima,+

      Lakini mtoto aliyeachiliwa humwaibisha mama yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki