Hesabu 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Lakini mtu anayetenda kosa kimakusudi,+ awe ni mwenyeji au mgeni, anamkufuru Yehova, naye lazima auawe. 1 Samweli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa wana wa Eli walikuwa watu waovu;+ hawakumheshimu Yehova. 1 Samweli 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo dhambi ya watumishi hao ikawa kubwa sana mbele za Yehova,+ kwa maana watu hao hawakuheshimu dhabihu ya Yehova.
30 “‘Lakini mtu anayetenda kosa kimakusudi,+ awe ni mwenyeji au mgeni, anamkufuru Yehova, naye lazima auawe.
17 Kwa hiyo dhambi ya watumishi hao ikawa kubwa sana mbele za Yehova,+ kwa maana watu hao hawakuheshimu dhabihu ya Yehova.