Hesabu 15:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “‘Lakini nafsi inayofanya jambo kwa kukusudia,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, aseme vibaya juu ya Yehova,+ katika hali hiyo nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake.+
30 “‘Lakini nafsi inayofanya jambo kwa kukusudia,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, aseme vibaya juu ya Yehova,+ katika hali hiyo nafsi hiyo lazima ikatiliwe mbali kutoka katikati ya watu wake.+