Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na ikiwa mtu atawaka hasira juu ya mwenzake kufikia hatua ya kumuua kwa kutumia hila,+ utamwondoa hata kwenye madhabahu yangu akafe.+

  • Kumbukumbu la Torati 1:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Basi nikasema nanyi, nanyi hamkusikiliza bali mkaanza kujiendesha kwa kumwasi+ Yehova na kuwaka hasira, nanyi mkajaribu kwenda juu mlimani.+

  • Kumbukumbu la Torati 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na mtu atakayejiendesha kwa kimbelembele kwa kutomsikiliza kuhani anayesimama ili kuhudumu hapo kwa Yehova Mungu wako au kwa mwamuzi,+ mtu huyo lazima afe;+ nawe utaondolea mbali kilicho kibaya kutoka Israeli.+

  • Waebrania 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa maana tukizoea kutenda dhambi kimakusudi+ baada ya kupokea ujuzi sahihi juu ya kweli,+ hakuna tena dhabihu yoyote iliyobaki kwa ajili ya dhambi,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki