29 Kisha Mfalme Sulemani akaambiwa: “Yoabu amekimbia akaenda katika hema la Yehova, na tazama, yupo kando ya madhabahu.” Kwa hiyo Sulemani akamtuma Benaya mwana wa Yehoyada, akisema: “Nenda, mshambulie!”+
15 Lakini Yehoyada kuhani akawaamuru wakuu wa mamia, watu waliochaguliwa wa jeshi,+ na kuwaambia: “Mwondoeni katikati ya vikosi, na yeyote atakayemfuata, auawe kwa upanga!”+ Kwa maana kuhani yule alikuwa amesema: “Asiuawe ndani ya nyumba ya Yehova.”