Kutoka 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na ikiwa mtu atawaka hasira juu ya mwenzake kufikia hatua ya kumuua kwa kutumia hila,+ utamwondoa hata kwenye madhabahu yangu akafe.+ Kutoka 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Halafu akafanya pembe zake+ kwenye zile ncha zake nne. Pembe zake zilitoka kwake. Kisha akaifunika kwa shaba.+ 1 Wafalme 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na habari hiyo ikamfikia Yoabu+—kwa maana Yoabu alikuwa na mwelekeo wa kumfuata Adoniya,+ ingawa hakuwa na mwelekeo wa kumfuata Absalomu+—na Yoabu akakimbia kwenda katika hema+ la Yehova, akashikilia kwa nguvu pembe za madhabahu.+
14 Na ikiwa mtu atawaka hasira juu ya mwenzake kufikia hatua ya kumuua kwa kutumia hila,+ utamwondoa hata kwenye madhabahu yangu akafe.+
2 Halafu akafanya pembe zake+ kwenye zile ncha zake nne. Pembe zake zilitoka kwake. Kisha akaifunika kwa shaba.+
28 Na habari hiyo ikamfikia Yoabu+—kwa maana Yoabu alikuwa na mwelekeo wa kumfuata Adoniya,+ ingawa hakuwa na mwelekeo wa kumfuata Absalomu+—na Yoabu akakimbia kwenda katika hema+ la Yehova, akashikilia kwa nguvu pembe za madhabahu.+