22 Ndipo Mfalme Sulemani akajibu na kumwambia mama yake: “Na kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu kwa ajili ya Adoniya? Mwombee pia ufalme+ (kwa sababu yeye ni ndugu yangu aliye mkubwa wangu),+ naam, kwa ajili yake na kwa ajili ya Abiathari+ kuhani na kwa ajili ya Yoabu+ mwana wa Seruya.”+