8 Nami nilikuwa tayari kukupa nyumba ya bwana wako+ na wake za bwana wako+ kifuani pako, na kukupa nyumba ya Israeli na ya Yuda.+ Na kama hayo hayakutosha, nilikuwa tayari kukuongezea vitu kama hivyo na pia vitu vingine.+
21 Ndipo Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Lala na masuria wa baba yako,+ aliowaacha nyuma kuitunza nyumba.+ Na Israeli wote hakika watasikia kwamba umenuka+ mbele ya baba yako,+ na mikono+ ya wote walio pamoja nawe itapata nguvu.”