11 Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu yako kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ nami nitawachukua wake zako chini ya macho yako mwenyewe na kumpa mwanamume mwenzako,+ naye atalala na wake zako chini ya macho ya jua hili.+
22 Ndipo Mfalme Sulemani akajibu na kumwambia mama yake: “Na kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu kwa ajili ya Adoniya? Mwombee pia ufalme+ (kwa sababu yeye ni ndugu yangu aliye mkubwa wangu),+ naam, kwa ajili yake na kwa ajili ya Abiathari+ kuhani na kwa ajili ya Yoabu+ mwana wa Seruya.”+