Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Uchi wa mke wa baba yako usiufunue.+ Ni uchi wa baba yako.

  • Mambo ya Walawi 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mwanamume anayelala na mke wa baba yake ameufunua uchi wa baba yake.+ Lazima wote wawili wauawe. Damu yao wenyewe iko juu yao.

  • 2 Samweli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu yako kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ nami nitawachukua wake zako chini ya macho yako mwenyewe na kumpa mwanamume mwenzako,+ naye atalala na wake zako chini ya macho ya jua hili.+

  • 1 Wafalme 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Ndipo Mfalme Sulemani akajibu na kumwambia mama yake: “Na kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu kwa ajili ya Adoniya? Mwombee pia ufalme+ (kwa sababu yeye ni ndugu yangu aliye mkubwa wangu),+ naam, kwa ajili yake na kwa ajili ya Abiathari+ kuhani na kwa ajili ya Yoabu+ mwana wa Seruya.”+

  • Ayubu 31:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi mke wangu na amsagie mwanamume mwingine,

      Wanaume wengine na wainame juu yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki