Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Pindi moja, Israeli alipokuwa akikaa+ katika nchi hiyo, Rubeni alienda akalala na Bilha suria wa baba yake, naye Israeli akapata kusikia juu ya hilo.+

      Basi Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili.

  • Mambo ya Walawi 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na mwanamume anayelala na mke wa baba yake ameufunua uchi wa baba yake.+ Lazima wote wawili wauawe. Damu yao wenyewe iko juu yao.

  • Kumbukumbu la Torati 22:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Mwanamume yeyote hapaswi kumchukua mke wa baba yake, asije akaufunua upindo wa nguo ya baba yake.+

  • Kumbukumbu la Torati 27:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mke wa baba yake, kwa sababu ameufunua upindo wa nguo ya baba yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • 2 Samweli 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Lala na masuria wa baba yako,+ aliowaacha nyuma kuitunza nyumba.+ Na Israeli wote hakika watasikia kwamba umenuka+ mbele ya baba yako,+ na mikono+ ya wote walio pamoja nawe itapata nguvu.”

  • 1 Wakorintho 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati+ katikati yenu, tena uasherati wa namna ambayo hata haimo kati ya mataifa, kwamba mwanamume fulani ana mke wa baba yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki