20 “‘Amelaaniwa yule ambaye hulala na mke wa baba yake, kwa sababu ameufunua upindo wa nguo ya baba yake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
5Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati+ katikati yenu, tena uasherati wa namna ambayo hata haimo kati ya mataifa, kwamba mwanamume fulani ana mke wa baba yake.+