Mambo ya Walawi 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Uchi wa mke wa baba yako usiufunue.+ Ni uchi wa baba yako. 2 Samweli 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi wakamsimamishia Absalomu hema juu ya dari,+ naye Absalomu akaanza kulala na masuria wa baba yake+ mbele ya macho ya Israeli wote.+ 1 Wakorintho 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati+ katikati yenu, tena uasherati wa namna ambayo hata haimo kati ya mataifa, kwamba mwanamume fulani ana mke wa baba yake.+
22 Basi wakamsimamishia Absalomu hema juu ya dari,+ naye Absalomu akaanza kulala na masuria wa baba yake+ mbele ya macho ya Israeli wote.+
5 Kwa kweli kuna habari kwamba kuna uasherati+ katikati yenu, tena uasherati wa namna ambayo hata haimo kati ya mataifa, kwamba mwanamume fulani ana mke wa baba yake.+