Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli 16:1

Marejeo

  • +2Sa 15:30
  • +2Sa 9:2, 9
  • +2Sa 9:6
  • +1Sa 25:18
  • +1Sa 17:17; 2Sa 17:28
  • +1Sa 30:12
  • +Yer 40:10; Amo 8:1; Mik 7:1
  • +1Sa 10:3

2 Samweli 16:2

Marejeo

  • +Met 17:8; 18:16
  • +1Sa 25:27
  • +2Sa 17:29
  • +2Sa 15:23

2 Samweli 16:3

Marejeo

  • +2Sa 9:3
  • +Law 19:16; 2Sa 19:27; Zb 15:3; Met 6:19; 26:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/2002, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w02 2/15 14-15

2 Samweli 16:4

Marejeo

  • +Kum 19:15; 2Sa 9:10
  • +2Sa 14:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2018, uku. 6

2 Samweli 16:5

Marejeo

  • +2Sa 3:16; 1Fa 2:8
  • +2Sa 19:16; 1Fa 2:44
  • +Kut 22:28; 1Sa 17:43; Met 1:22; 26:2; Mhu 10:20; Mdo 23:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2018, kur. 6-7

2 Samweli 16:7

Marejeo

  • +1Sa 24:6; 26:11
  • +Kum 13:13; 1Sa 2:12; 25:17; Ayu 34:18

2 Samweli 16:8

Marejeo

  • +Zb 3:1, 2; 7:1; 71:11

2 Samweli 16:9

Marejeo

  • +1Nya 2:16
  • +1Sa 24:14; 2Sa 3:8
  • +Kut 22:28; Mdo 23:5
  • +1Sa 26:8; Lu 9:54; Ro 12:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1999, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 5/1 32

2 Samweli 16:10

Marejeo

  • +2Sa 19:22; 2Fa 3:13; Lu 9:55
  • +1Fa 2:5
  • +Zb 37:8; 1Pe 2:23
  • +2Sa 12:10
  • +Ro 9:20

2 Samweli 16:11

Marejeo

  • +2Sa 12:11; 15:14; 17:12
  • +2Sa 19:16

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/1999, uku. 32

  • Fahirishi ya Machapisho

    w99 5/1 32

2 Samweli 16:12

Marejeo

  • +Mwa 29:32; Kut 2:25; 3:7; Zb 25:18; Met 15:3
  • +Kum 23:5; Zb 109:28

2 Samweli 16:13

Marejeo

  • +Kut 22:28; 2Sa 16:5; Mhu 10:20
  • +Mdo 22:23

2 Samweli 16:14

Marejeo

  • +2Sa 16:2

2 Samweli 16:15

Marejeo

  • +2Sa 15:37
  • +2Sa 15:12, 31

2 Samweli 16:16

Marejeo

  • +2Sa 15:32
  • +Yos 16:2
  • +2Sa 15:37; 1Nya 27:33
  • +1Sa 10:24; 1Fa 1:25; 2Fa 11:12; Da 2:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    3/2017, uku. 29

2 Samweli 16:17

Marejeo

  • +Mwa 26:26; 1Fa 4:5; Met 17:17; 18:24

2 Samweli 16:19

Marejeo

  • +2Sa 15:34; Met 14:15

2 Samweli 16:20

Marejeo

  • +Zb 37:12; Met 21:30; Isa 8:10; Mt 27:1

2 Samweli 16:21

Marejeo

  • +Law 18:8; 20:11; 2Sa 12:11; 1Fa 2:22; Ayu 31:10
  • +2Sa 15:16
  • +Mwa 34:30; 1Sa 13:4; 27:12
  • +Mwa 49:4
  • +2Sa 2:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    5/15/2005, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 5/15 13

2 Samweli 16:22

Marejeo

  • +2Sa 11:2
  • +Kum 22:30; 2Sa 12:11; 20:3
  • +Hes 25:6; 2Sa 12:12; Isa 3:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 62

2 Samweli 16:23

Marejeo

  • +2Sa 17:14
  • +2Sa 15:12; 17:23

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 16:12Sa 15:30
2 Sam. 16:12Sa 9:2, 9
2 Sam. 16:12Sa 9:6
2 Sam. 16:11Sa 25:18
2 Sam. 16:11Sa 17:17; 2Sa 17:28
2 Sam. 16:11Sa 30:12
2 Sam. 16:1Yer 40:10; Amo 8:1; Mik 7:1
2 Sam. 16:11Sa 10:3
2 Sam. 16:2Met 17:8; 18:16
2 Sam. 16:21Sa 25:27
2 Sam. 16:22Sa 17:29
2 Sam. 16:22Sa 15:23
2 Sam. 16:32Sa 9:3
2 Sam. 16:3Law 19:16; 2Sa 19:27; Zb 15:3; Met 6:19; 26:22
2 Sam. 16:4Kum 19:15; 2Sa 9:10
2 Sam. 16:42Sa 14:22
2 Sam. 16:52Sa 3:16; 1Fa 2:8
2 Sam. 16:52Sa 19:16; 1Fa 2:44
2 Sam. 16:5Kut 22:28; 1Sa 17:43; Met 1:22; 26:2; Mhu 10:20; Mdo 23:5
2 Sam. 16:71Sa 24:6; 26:11
2 Sam. 16:7Kum 13:13; 1Sa 2:12; 25:17; Ayu 34:18
2 Sam. 16:8Zb 3:1, 2; 7:1; 71:11
2 Sam. 16:91Nya 2:16
2 Sam. 16:91Sa 24:14; 2Sa 3:8
2 Sam. 16:9Kut 22:28; Mdo 23:5
2 Sam. 16:91Sa 26:8; Lu 9:54; Ro 12:19
2 Sam. 16:102Sa 19:22; 2Fa 3:13; Lu 9:55
2 Sam. 16:101Fa 2:5
2 Sam. 16:10Zb 37:8; 1Pe 2:23
2 Sam. 16:102Sa 12:10
2 Sam. 16:10Ro 9:20
2 Sam. 16:112Sa 12:11; 15:14; 17:12
2 Sam. 16:112Sa 19:16
2 Sam. 16:12Mwa 29:32; Kut 2:25; 3:7; Zb 25:18; Met 15:3
2 Sam. 16:12Kum 23:5; Zb 109:28
2 Sam. 16:13Kut 22:28; 2Sa 16:5; Mhu 10:20
2 Sam. 16:13Mdo 22:23
2 Sam. 16:142Sa 16:2
2 Sam. 16:152Sa 15:37
2 Sam. 16:152Sa 15:12, 31
2 Sam. 16:162Sa 15:32
2 Sam. 16:16Yos 16:2
2 Sam. 16:162Sa 15:37; 1Nya 27:33
2 Sam. 16:161Sa 10:24; 1Fa 1:25; 2Fa 11:12; Da 2:4
2 Sam. 16:17Mwa 26:26; 1Fa 4:5; Met 17:17; 18:24
2 Sam. 16:192Sa 15:34; Met 14:15
2 Sam. 16:20Zb 37:12; Met 21:30; Isa 8:10; Mt 27:1
2 Sam. 16:21Law 18:8; 20:11; 2Sa 12:11; 1Fa 2:22; Ayu 31:10
2 Sam. 16:212Sa 15:16
2 Sam. 16:21Mwa 34:30; 1Sa 13:4; 27:12
2 Sam. 16:21Mwa 49:4
2 Sam. 16:212Sa 2:7
2 Sam. 16:222Sa 11:2
2 Sam. 16:22Kum 22:30; 2Sa 12:11; 20:3
2 Sam. 16:22Hes 25:6; 2Sa 12:12; Isa 3:9
2 Sam. 16:232Sa 17:14
2 Sam. 16:232Sa 15:12; 17:23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 16:1-23

2 Samweli

16 Daudi alipokuwa amevuka mbele kidogo ya kile kilele,+ tazama, Siba+ mtumishi wa Mefiboshethi+ alikuwa akija kumpokea, akiwa na punda wawili+ waliotandikwa, na juu yao kulikuwa na mikate+ mia mbili na keki mia moja za zabibu kavu+ na mizigo mia moja ya matunda ya wakati wa kiangazi+ na mtungi mkubwa wa divai.+ 2 Basi mfalme akamwambia Siba: “Vitu hivi vinamaanisha nini kwa upande wako?”+ Ndipo Siba akasema: “Hawa punda ni kwa ajili ya nyumba ya mfalme ili wawapande, na hii mikate na mzigo wa matunda ya wakati wa kiangazi ni kwa ajili ya vijana+ ili wale, na divai ni kwa ajili ya mwenye kuchoka+ nyikani+ ili anywe.” 3 Mfalme akasema: “Na mwana wa bwana wako yuko wapi?”+ Ndipo Siba akamwambia mfalme: “Tazama, anakaa Yerusalemu; kwa maana alisema, ‘Leo nyumba ya Israeli watanirudishia utawala wa kifalme wa baba yangu.’”+ 4 Basi mfalme akamwambia Siba: “Tazama! Mali yote ya Mefiboshethi ni yako.”+ Na Siba akasema: “Mimi ninainama.+ Na nipate kibali machoni pako, bwana wangu mfalme.”

5 Na Mfalme Daudi akaenda mpaka Bahurimu,+ na tazama! palikuwa na mtu anatoka huko, wa familia ya nyumba ya Sauli, na jina lake lilikuwa Shimei,+ mwana wa Gera, akiwa anatoka na kulaani huku akiwa anatoka.+ 6 Naye akaanza kumtupia Daudi mawe, na watumishi wote wa Mfalme Daudi; na watu wote na wanaume wote wenye nguvu walikuwa upande wake wa kuume na wa kushoto. 7 Na Shimei akalaani akisema: “Ondoka, ondoka, wewe mtu mwenye hatia ya damu+ na asiyefaa kitu!+ 8 Yehova amerudisha juu yako hatia yote ya damu kwa ajili ya nyumba ya Sauli ambaye umetawala ukiwa mfalme mahali pake; na Yehova anautia ufalme mkononi mwa Absalomu mwana wako. Na sasa tazama, umo katika msiba wako, kwa sababu wewe ni mtu mwenye hatia ya damu!”+

9 Mwishowe Abishai mwana wa Seruya+ akamwambia mfalme: “Kwa nini huyu mbwa mfu+ amlaani bwana wangu mfalme?+ Tafadhali acha nivuke, niende nikiondoe kichwa chake.”+ 10 Lakini mfalme akasema: “Nina nini nanyi,+ enyi wana wa Seruya?+ Mwacheni alaani+ hivyo, kwa sababu Yehova amemwambia,+ ‘Mlaani Daudi!’ Basi ni nani anayepaswa kusema, ‘Kwa nini ulifanya hivyo?’”+ 11 Na Daudi akaendelea kumwambia Abishai na watumishi wake wote: “Tazama, mwanangu mwenyewe, ambaye ametoka katika viuno vyangu, anaitafuta nafsi yangu;+ si zaidi sasa Mbenyamini huyu!+ Mwacheni alaani, kwa maana Yehova amemwambia hivyo! 12 Labda Yehova ataona+ kwa jicho lake, na Yehova atanirudishia wema badala ya laana yake leo hii.”+ 13 Kwa hiyo Daudi na watu wake wakazidi kusonga mbele barabarani, Shimei naye akiwa anatembea kando ya mlima, akitembea kando yake ili alaani;+ naye akaendelea kutupa mawe akiwa kando yake, naye alitupa mavumbi mengi sana.+

14 Mwishowe mfalme na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafika, wakiwa wamechoka. Basi wakajiburudisha huko.+

15 Lakini Absalomu na watu wote, wanaume wa Israeli, wakaingia Yerusalemu;+ na Ahithofeli+ alikuwa pamoja naye. 16 Na ikawa kwamba mara Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya Daudi,+ alipoingia kwa Absalomu, Hushai akamwambia Absalomu: “Mfalme na aishi!+ Mfalme na aishi!” 17 Ndipo Absalomu akamwambia Hushai: “Hizi ndizo fadhili zako zenye upendo kwa mwenzako, sivyo? Kwa nini hukuenda pamoja na mwenzako?”+ 18 Kwa hiyo Hushai akamwambia Absalomu: “Sivyo; lakini yeye ambaye Yehova amemchagua na pia watu hawa na wanaume wote wa Israeli, nitakuwa wake, nami nitakaa pamoja naye. 19 Nami nitasema kwa mara ya pili, Mimi nitamtumikia nani? Je, si mbele ya mwana wake? Kama vile nilivyotumika mbele ya baba yako, ndivyo nitakavyokuwa mbele yako.”+

20 Baadaye Absalomu akamwambia Ahithofeli: “Toeni shauri lenu.+ Tufanye nini?” 21 Ndipo Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Lala na masuria wa baba yako,+ aliowaacha nyuma kuitunza nyumba.+ Na Israeli wote hakika watasikia kwamba umenuka+ mbele ya baba yako,+ na mikono+ ya wote walio pamoja nawe itapata nguvu.” 22 Basi wakamsimamishia Absalomu hema juu ya dari,+ naye Absalomu akaanza kulala na masuria wa baba yake+ mbele ya macho ya Israeli wote.+

23 Na shauri la Ahithofeli, aliloshauri siku hizo, lilikuwa kama inavyokuwa wakati mtu ameuliza juu ya neno la Mungu wa kweli. Hivyo ndivyo lilivyokuwa shauri+ lote la Ahithofeli+ kwa Daudi na pia kwa Absalomu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki