Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Sasa Abishai akamwambia Daudi: “Mungu leo amemtia adui yako mkononi mwako.+ Tafadhali sasa, acha nimpigilie chini kwa mkuki mara moja tu, nami sitafanya hivyo mara mbili.”

  • Luka 9:54
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 54 Wanafunzi Yakobo na Yohana+ walipoona hilo wakasema: “Bwana, je, unataka tuuambie moto+ ushuke kutoka mbinguni na kuwaangamiza?”

  • Waroma 12:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki