1 Samweli 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sasa Abishai akamwambia Daudi: “Mungu leo amemtia adui yako mkononi mwako.+ Tafadhali sasa, acha nimpigilie chini kwa mkuki mara moja tu, nami sitafanya hivyo mara mbili.” Luka 9:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Wanafunzi Yakobo na Yohana+ walipoona hilo wakasema: “Bwana, je, unataka tuuambie moto+ ushuke kutoka mbinguni na kuwaangamiza?” Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+
8 Sasa Abishai akamwambia Daudi: “Mungu leo amemtia adui yako mkononi mwako.+ Tafadhali sasa, acha nimpigilie chini kwa mkuki mara moja tu, nami sitafanya hivyo mara mbili.”
54 Wanafunzi Yakobo na Yohana+ walipoona hilo wakasema: “Bwana, je, unataka tuuambie moto+ ushuke kutoka mbinguni na kuwaangamiza?”
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+