Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 26
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 26:1

Marejeo

  • +Yos 15:55; 1Sa 23:14; Zb 54:utangulizi
  • +Amu 19:14; 1Sa 10:26; 11:4
  • +1Sa 23:19
  • +1Sa 23:24

1 Samweli 26:2

Marejeo

  • +1Sa 23:23; 24:17
  • +1Sa 24:2

1 Samweli 26:4

Marejeo

  • +Yos 2:1; Mt 10:16

1 Samweli 26:5

Marejeo

  • +1Sa 14:50; 17:55; 2Sa 2:8; 3:27
  • +1Sa 17:20

1 Samweli 26:6

Marejeo

  • +Mwa 10:15; 15:20
  • +2Sa 16:9; 18:5
  • +2Sa 2:18; 23:18; 1Nya 2:16
  • +Amu 7:10; 1Sa 14:7

1 Samweli 26:8

Marejeo

  • +1Sa 24:4; 26:23

1 Samweli 26:9

Marejeo

  • +1Sa 10:1; 24:6; 2Sa 1:14
  • +1Nya 16:22; Zb 20:6; 105:15; Lu 18:7

1 Samweli 26:10

Marejeo

  • +1Sa 20:21; 25:26
  • +Kum 32:35; 1Sa 24:12; 25:38; Zb 94:1, 23; Ro 12:19; Yud 9
  • +Ayu 14:5; Zb 37:13; 90:10; Mhu 8:13
  • +1Sa 31:3, 6
  • +1Sa 12:25

1 Samweli 26:11

Marejeo

  • +1Sa 14:45; 24:6
  • +Zb 40:8; 119:97
  • +Law 19:18; Met 24:29; Ro 12:17
  • +1Nya 16:22; Zb 20:6; 105:15

1 Samweli 26:12

Marejeo

  • +1Sa 24:4
  • +Mwa 2:21; 15:12

1 Samweli 26:14

Marejeo

  • +1Sa 14:50; 17:55; 2Sa 2:8; 3:8

1 Samweli 26:15

Marejeo

  • +1Sa 26:8

1 Samweli 26:16

Marejeo

  • +1Sa 14:45
  • +2Sa 12:5; 19:28
  • +1Sa 14:16
  • +1Sa 9:16; 10:1
  • +1Sa 26:11; 1Fa 19:6

1 Samweli 26:17

Marejeo

  • +1Sa 24:8, 16

1 Samweli 26:18

Marejeo

  • +Zb 35:7; 69:4
  • +1Sa 24:9, 11; Zb 7:3; Yoh 10:32; 18:23

1 Samweli 26:19

Marejeo

  • +Law 19:5; 2Sa 24:25
  • +1Sa 24:9
  • +Met 30:10
  • +Kut 19:5; Kum 26:18; 32:9; 2Sa 20:19; Zb 135:4
  • +Ro 14:13

1 Samweli 26:20

Marejeo

  • +Yak 5:6
  • +1Sa 24:14
  • +Omb 3:52

1 Samweli 26:21

Marejeo

  • +Kut 9:27; 1Sa 15:24; 24:17; Mt 27:4
  • +1Sa 24:10; 26:11

1 Samweli 26:23

Marejeo

  • +1Fa 8:32; Zb 7:8; 18:20; 28:4
  • +1Sa 24:6; 26:9

1 Samweli 26:24

Marejeo

  • +Zb 18:25; Mt 5:7; 7:2
  • +Mwa 48:16; Zb 34:19; 2Pe 2:9

1 Samweli 26:25

Marejeo

  • +1Sa 24:19; Isa 54:17
  • +Mwa 18:33; Hes 24:25; 1Sa 24:22; 27:4; 2Sa 19:39

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 26:1Yos 15:55; 1Sa 23:14; Zb 54:utangulizi
1 Sam. 26:1Amu 19:14; 1Sa 10:26; 11:4
1 Sam. 26:11Sa 23:19
1 Sam. 26:11Sa 23:24
1 Sam. 26:21Sa 23:23; 24:17
1 Sam. 26:21Sa 24:2
1 Sam. 26:4Yos 2:1; Mt 10:16
1 Sam. 26:51Sa 14:50; 17:55; 2Sa 2:8; 3:27
1 Sam. 26:51Sa 17:20
1 Sam. 26:6Mwa 10:15; 15:20
1 Sam. 26:62Sa 16:9; 18:5
1 Sam. 26:62Sa 2:18; 23:18; 1Nya 2:16
1 Sam. 26:6Amu 7:10; 1Sa 14:7
1 Sam. 26:81Sa 24:4; 26:23
1 Sam. 26:91Sa 10:1; 24:6; 2Sa 1:14
1 Sam. 26:91Nya 16:22; Zb 20:6; 105:15; Lu 18:7
1 Sam. 26:101Sa 20:21; 25:26
1 Sam. 26:10Kum 32:35; 1Sa 24:12; 25:38; Zb 94:1, 23; Ro 12:19; Yud 9
1 Sam. 26:10Ayu 14:5; Zb 37:13; 90:10; Mhu 8:13
1 Sam. 26:101Sa 31:3, 6
1 Sam. 26:101Sa 12:25
1 Sam. 26:111Sa 14:45; 24:6
1 Sam. 26:11Zb 40:8; 119:97
1 Sam. 26:11Law 19:18; Met 24:29; Ro 12:17
1 Sam. 26:111Nya 16:22; Zb 20:6; 105:15
1 Sam. 26:121Sa 24:4
1 Sam. 26:12Mwa 2:21; 15:12
1 Sam. 26:141Sa 14:50; 17:55; 2Sa 2:8; 3:8
1 Sam. 26:151Sa 26:8
1 Sam. 26:161Sa 14:45
1 Sam. 26:162Sa 12:5; 19:28
1 Sam. 26:161Sa 14:16
1 Sam. 26:161Sa 9:16; 10:1
1 Sam. 26:161Sa 26:11; 1Fa 19:6
1 Sam. 26:171Sa 24:8, 16
1 Sam. 26:18Zb 35:7; 69:4
1 Sam. 26:181Sa 24:9, 11; Zb 7:3; Yoh 10:32; 18:23
1 Sam. 26:19Law 19:5; 2Sa 24:25
1 Sam. 26:191Sa 24:9
1 Sam. 26:19Met 30:10
1 Sam. 26:19Kut 19:5; Kum 26:18; 32:9; 2Sa 20:19; Zb 135:4
1 Sam. 26:19Ro 14:13
1 Sam. 26:20Yak 5:6
1 Sam. 26:201Sa 24:14
1 Sam. 26:20Omb 3:52
1 Sam. 26:21Kut 9:27; 1Sa 15:24; 24:17; Mt 27:4
1 Sam. 26:211Sa 24:10; 26:11
1 Sam. 26:231Fa 8:32; Zb 7:8; 18:20; 28:4
1 Sam. 26:231Sa 24:6; 26:9
1 Sam. 26:24Zb 18:25; Mt 5:7; 7:2
1 Sam. 26:24Mwa 48:16; Zb 34:19; 2Pe 2:9
1 Sam. 26:251Sa 24:19; Isa 54:17
1 Sam. 26:25Mwa 18:33; Hes 24:25; 1Sa 24:22; 27:4; 2Sa 19:39
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 26:1-25

1 Samweli

26 Baada ya muda watu wa Zifu+ wakamjia Sauli kule Gibea,+ wakisema: “Je, Daudi hajifichi katika kilima cha Hakila,+ kinachoelekeana na Yeshimoni?”+ 2 Naye Sauli akaondoka,+ akashuka, akaenda katika nyika ya Zifu, na watu elfu tatu+ walikuwa pamoja naye, watu waliochaguliwa wa Israeli, kumtafuta Daudi katika nyika ya Zifu. 3 Na Sauli akapiga kambi katika kilima cha Hakila, kinachoelekeana na Yeshimoni, kando ya barabara, naye Daudi alikuwa akikaa nyikani. Naye akaona kwamba Sauli amemfuata nyikani. 4 Basi Daudi akatuma wapelelezi+ ili ajue kama kweli Sauli amekuja. 5 Baadaye Daudi akasimama, akaenda mahali ambapo Sauli alikuwa amepiga kambi, na Daudi akaona mahali ambapo Sauli alikuwa amelala, na pia Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lake; na Sauli alikuwa amelala katika uwanja wa kambi,+ watu wakiwa wamepiga kambi kumzunguka. 6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti,+ na Abishai+ mwana wa Seruya,+ ndugu ya Yoabu: “Ni nani atakayeshuka aende pamoja nami kwa Sauli kambini?” Naye Abishai akasema: “Mimi nitashuka pamoja nawe.”+ 7 Na Daudi akaondoka pamoja na Abishai kwenda kwa wale watu wakati wa usiku; na tazama! Sauli alikuwa amelala katika uwanja wa kambi, huku mkuki wake ukiwa umechomekwa chini penye kichwa chake, na Abneri na watu walikuwa wamelala kumzunguka.

8 Sasa Abishai akamwambia Daudi: “Mungu leo amemtia adui yako mkononi mwako.+ Tafadhali sasa, acha nimpigilie chini kwa mkuki mara moja tu, nami sitafanya hivyo mara mbili.” 9 Hata hivyo, Daudi akamwambia Abishai: “Usimwangamize, kwani ni nani amepata kunyoosha mkono wake juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova,+ naye akabaki bila hatia?”+ 10 Na Daudi akasema tena: “Kama Yehova anavyoishi,+ Yehova mwenyewe atampiga;+ au siku yake itakuja+ naye atakufa, au ataanguka vitani,+ na kufagiliwa mbali.+ 11 Ni jambo lisilowaziwa+ kwangu, kwa maoni ya Yehova,+ kwamba ninyooshe mkono wangu+ juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova!+ Kwa hiyo, tafadhali sasa, chukua mkuki ulio karibu na kichwa chake na lile gudulia la maji, nasi twende zetu.” 12 Basi Daudi akachukua ule mkuki na lile gudulia la maji kutoka pale karibu na kichwa cha Sauli, kisha wakaondoka; na hakuna yeyote aliyeona+ wala yeyote aliyeangalia wala yeyote aliyeamka, kwa maana wote walikuwa wamelala, kwa sababu walikuwa wameshikwa na usingizi mzito+ kutoka kwa Yehova. 13 Ndipo Daudi akapita, akaenda upande ule mwingine, akasimama kwenye kilele cha mlima akiwa umbali fulani, nafasi iliyokuwa kati yao ilikuwa ni kubwa.

14 Naye Daudi akaanza kuwaita watu na Abneri mwana wa Neri, akisema: “Je, hutajibu, Abneri?” Kwa hiyo Abneri+ akajibu na kusema: “Wewe ni nani ambaye umemwita mfalme?” 15 Na Daudi akaendelea kumwambia Abneri: “Je, wewe si mwanamume? Na ni nani aliye kama wewe katika Israeli? Kwa nini, basi, hukumlinda bwana wako mfalme? Kwa sababu mmoja wa watu aliingia ili kumwangamiza mfalme bwana wako.+ 16 Jambo hili ambalo umefanya si jema. Kama Yehova anavyoishi,+ ninyi mnastahili kufa,+ kwa sababu hamkumlinda+ bwana wenu, mtiwa-mafuta wa Yehova.+ Na sasa ona mahali ulipo mkuki wa mfalme na gudulia la maji+ vilivyokuwa karibu na kichwa chake.”

17 Naye Sauli akaanza kutambua sauti ya Daudi na kusema: “Je, hii ni sauti yako, Daudi mwanangu?”+ Naye Daudi akasema: “Ni sauti yangu, bwana wangu mfalme.” 18 Naye akaongeza kusema: “Kwa nini bwana wangu anamfuatilia mtumishi wake,+ kwani nimefanya nini, na kuna ubaya gani mkononi mwangu?+ 19 Na sasa, tafadhali, bwana wangu mfalme na ayasikilize maneno ya mtumishi wake: Ikiwa ni Yehova aliyekuchochea juu yangu, na anuse harufu ya toleo la nafaka.+ Lakini ikiwa ni wanadamu,+ wamelaaniwa mbele za Yehova,+ kwa sababu leo wamenifukuza nisione kuwa nimeshikamana na urithi wa Yehova,+ wakisema, ‘Nenda, tumikia miungu mingine!’+ 20 Na sasa usiache damu yangu imwagike chini mbele za uso wa Yehova;+ kwa maana mfalme wa Israeli ametoka kwenda kutafuta kiroboto mmoja,+ kama vile mtu anavyomfukuza kwale juu ya milima.”+

21 Naye Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, Daudi mwanangu, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu ya ukweli wa kwamba nafsi yangu imekuwa na thamani+ machoni pako leo. Tazama! Nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.” 22 Ndipo Daudi akajibu na kusema: “Tazama, mkuki wa mfalme ni huu, basi mmoja wa vijana na aje, auchukue. 23 Na Yehova ndiye atakayemlipa kila mmoja uadilifu+ wake na uaminifu wake, kwa kuwa Yehova leo alikutia mkononi mwangu, nami sikutaka kunyoosha mkono wangu juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova.+ 24 Na tazama! kama vile nafsi yako ilivyokuwa yenye thamani machoni pangu leo hii, vivyo hivyo nafsi yangu na iwe yenye thamani machoni pa Yehova,+ ili anikomboe kutoka katika taabu yote.”+ 25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi: “Ubarikiwe, Daudi mwanangu. Bila shaka utafanya kazi nawe bila shaka utakuwa mshindi.”+ Daudi akaenda zake; lakini Sauli akarudi kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki