19 Kwa maana, mtu akimpata adui yake, je, atamwacha ashike njia aende zake salama?+ Basi Yehova mwenyewe atakupa thawabu ya mema,+ kwa kuwa leo umenitendea hivyo.
17 Silaha yoyote itakayofanywa juu yako haitafanikiwa,+ na ulimi wowote utakaoinuka juu yako katika hukumu wewe utauhukumu.+ Hilo ndilo fungu la urithi la watumishi wa Yehova,+ na uadilifu wao ni kutoka kwangu,” asema Yehova.+