Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 45:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 ukisema, ‘Hakika kuna uadilifu kamili na nguvu katika Yehova.+ Wale wote wanaomwakia hasira watakuja kwake moja kwa moja na kuona aibu.+

  • Yeremia 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa katika usalama.+ Na hili ndilo jina lake atakaloitwa, Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+

  • Waroma 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ili kuonyesha wazi uadilifu+ wake mwenyewe katika majira haya yaliyopo, ili awe mwadilifu hata anapomtangaza kuwa mwadilifu+ mtu aliye na imani katika Yesu.

  • 2 Wakorintho 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yeye ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi+ kwa ajili yetu, ili sisi tuwe uadilifu wa Mungu+ kupitia yeye.

  • Waefeso 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 na mnapaswa kuvaa+ utu mpya+ ulioumbwa+ kulingana na mapenzi ya Mungu katika uadilifu wa kweli+ na ushikamanifu.

  • Wafilipi 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na nipatikane katika muungano naye, nikiwa, si na uadilifu wangu mwenyewe, ambao hutokana na sheria,+ bali ule ambao ni kupitia imani+ katika Kristo, uadilifu unaotoka kwa Mungu kwa msingi wa imani,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki