26 ili kuonyesha wazi uadilifu+ wake mwenyewe katika majira haya yaliyopo, ili awe mwadilifu hata anapomtangaza kuwa mwadilifu+ mtu aliye na imani katika Yesu.
9 na nipatikane katika muungano naye, nikiwa, si na uadilifu wangu mwenyewe, ambao hutokana na sheria,+ bali ule ambao ni kupitia imani+ katika Kristo, uadilifu unaotoka kwa Mungu kwa msingi wa imani,+