Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa upande mwingine, kwa mtu asiyefanya kazi bali anayeweka imani+ katika yeye anayemtangaza kuwa mwadilifu yule asiyemwogopa Mungu, imani yake inahesabiwa kuwa ni uadilifu.+

  • Waroma 9:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi, tuseme nini? Kwamba watu wa mataifa, ijapokuwa hawakuwa wakiufuatilia uadilifu,+ waliufikia uadilifu, uadilifu unaotokana na imani;+

  • Wagalatia 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 tukijua kama vile tunavyojua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu,+ si kwa sababu ya matendo ya sheria, bali tu kupitia imani+ kumwelekea Kristo Yesu, hata sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kutokana na imani kumwelekea Kristo,+ na si kutokana na matendo ya sheria, kwa sababu hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu kutokana na matendo ya sheria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki