-
Wagalatia 2:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 tunatambua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu, si kupitia matendo ya sheria, bali kupitia tu imani+ katika Yesu Kristo.+ Basi sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kupitia imani katika Kristo bali si kupitia matendo ya sheria, kwa maana hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu kupitia matendo ya sheria.+
-
-
Wagalatia 2:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 tukijua kama sisi tujuavyo kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu, si kwa sababu ya kazi za sheria, ila tu kupitia imani kuelekea Kristo Yesu, hata sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tupate kutangazwa kuwa waadilifu kwa sababu ya imani kuelekea Kristo, na si kwa sababu ya kazi za sheria, kwa sababu kutokana na kazi za sheria hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa wenye uadilifu.
-