Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wagalatia 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 tunatambua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu, si kupitia matendo ya sheria, bali kupitia tu imani+ katika Yesu Kristo.+ Basi sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kupitia imani katika Kristo bali si kupitia matendo ya sheria, kwa maana hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu kupitia matendo ya sheria.+

  • Wagalatia 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 tukijua kama vile tunavyojua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu,+ si kwa sababu ya matendo ya sheria, bali tu kupitia imani+ kumwelekea Kristo Yesu, hata sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kutokana na imani kumwelekea Kristo,+ na si kutokana na matendo ya sheria, kwa sababu hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu kutokana na matendo ya sheria.+

  • Wagalatia
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 2:16

      Mnara wa Mlinzi,

      11/15/1989, uku. 4

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki