- 
	                        
            
            Wagalatia 2:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        16 tunatambua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu, si kupitia matendo ya sheria, bali kupitia tu imani+ katika Yesu Kristo.+ Basi sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kupitia imani katika Kristo bali si kupitia matendo ya sheria, kwa maana hakuna mtu yeyote atakayetangazwa* kuwa mwadilifu kupitia matendo ya sheria.+ 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            Wagalatia 2:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        16 tukijua kama vile tunavyojua kwamba mtu hutangazwa kuwa mwadilifu,+ si kwa sababu ya matendo ya sheria, bali tu kupitia imani+ kumwelekea Kristo Yesu, hata sisi tumeweka imani yetu katika Kristo Yesu, ili tutangazwe kuwa waadilifu kutokana na imani kumwelekea Kristo,+ na si kutokana na matendo ya sheria, kwa sababu hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu kutokana na matendo ya sheria.+ 
 
-