Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 8:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ni nani atakayefanya shtaka juu ya waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+

  • 1 Wakorintho 1:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Lakini ni kwa sababu yake kwamba ninyi mko katika muungano na Kristo Yesu, ambaye kwetu amekuwa hekima+ kutoka kwa Mungu, pia uadilifu+ na utakaso+ na kuachiliwa huru kupitia fidia;+

  • 1 Yohana 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tukiungama dhambi zetu,+ yeye ni mwaminifu na mwadilifu hata atusamehe dhambi zetu na kutusafisha ukosefu wote wa uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki