Matendo 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 na kwamba kutokana na mambo yote ambayo ninyi hamngeweza kutangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya Huyu.+ Waebrania 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 inasema baadaye: “Nami sitazikumbuka tena dhambi zao hata kidogo na matendo yao ya kuasi sheria.”+
39 na kwamba kutokana na mambo yote ambayo ninyi hamngeweza kutangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya Huyu.+
17 inasema baadaye: “Nami sitazikumbuka tena dhambi zao hata kidogo na matendo yao ya kuasi sheria.”+